Afisa Habari na Uhusiano wa ZPDC Ndg. Laila Keis Hassan akitoa uwelewa wa shughuli za utafiti wa Mafuta na Gesi Asilia Zanzibar kwa mwananchi aliyefika kwenye banda la ZPDC katika maonesho ya Sabasaba Jijini Dar Es Salaam.
Afisa Habari na Uhusiano wa ZPDC Ndg. Laila Keis Hassan akitoa uwelewa wa shughuli za utafiti wa Mafuta na Gesi Asilia Zanzibar kwa mwananchi aliyefika kwenye banda la ZPDC katika maonesho ya Sabasaba Jijini Dar Es Salaam.