The Revolutionary Government of Zanzibar

Mkurugenzi Mwendeshaji wa ZPDC akitoa maelezo kwa Makamo wa Pili wa Rais Mhe. Hemed Sleiman Aballah alipotembelea banda la ZPDC kwenye maonesho ya Wiki ya Mashirika yaliyofanyika katika viwanja vya Kisonge Unguja.